Wataalamu wetu wa VOICE study iliyokuwa inatafiti Mafuta ya Kupaka Ukeni ya Tenofovir wamelazimika kusitisha matumizi ya dawa hiyo katika uutafiti kwa kushindwa kuzuia Maambukizi ya VVU. Hii ni setback nyingine katika utafiti kwani awali kulikuwa na matumaini makubwa sana ya Mafanikio. Tafiti zinaonesha kuwa Tenofovir Rectal gel inaonesha mafanikio kutokana na muundo tofauti wa seli katika kingo za unyuma wa mwanaume na uke. Hata hivyo kwa kuwa Gates Foundation bado imeweka mabilioni ya fedha tunatarajia watafiti wetu haatakatishwa tamaa na mafanikio hasi haya.
SOMA HAPA: http://www.niaid.nih.gov/news/newsreleases/2011/Pages/VOICEdiscontinued.aspx